SABABU YA MUNGU KUKUOKOA

       Somo: sababu ya Mungu kukuokoa
Mh: Michael  
        .Mbeya 
        
       UTANGULIZI  
 Maandiko ya somo 
   Kutoka  1:8-10 
.8.Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
 9.Akawaambia watu wake, Angalieni, watu wa wana wa Israeli ni wengi tena wana nguvu kuliko sisi.
10.Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
      
   Ni somo zuri sana hili ambalo litakusaidia ufike Mbinguni na ufurahie wokovu na uuchukie wokovu 
       
       Je unajua shetani hana mamlaka ya kugusa ata nguo yako au kitu chako chochote !!!?
   Watu wengi tumekuwa tukiishia maisha ya kuteswa . umaskini huku  tunamamlaka makubwa 
        Mungu hakukuokoa ili uteseke  ila alitaka tufarahie mala mia dunia na hatimaye uzima wa milele 
         . Unafahamu maana mstari huu 
      Katika kutoka 1.10 
Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
       
        Haya na tuwatendee kwa akil wasije wakawa matajiri 
 __ wasije wakamiliki maghali 
__ wasije wakamiliki nyumba nzuri waishie nyumba za kupanga
            Yote ni maneno ambayo sheteni na malaika wake wamekuwa wakitumia kutesa watumishi wa Mungu 
     
     Akili yenyewe anayotumia apa ni
 1. Kumtenga mtu na mungu 
 2. Shetani anafahamu kuwa tunapokuwa na Mungu tunanguvu zaidi yake 
      
   Ebu jaribu kutafakari ni mara ngapi unapoteswa na shetani huwa unakuwa na Mahusiano gani na Mungu .
      Kwaiyo  mpendwa  katika bwana  kaa
    Na Mungu katika maisha yako ili shetani asipate nafasi   ya kukushtaki  
        Ili usipate baraka zako kutoka kwa Bwana
             


       Somo ni lefu sana kipengele kijacho totaangalia hizo sababu 



      Ubarikiwe na Mungu kwa kusoma Neno lake TAKATIFU
    

      Amina

Comments

Popular posts from this blog

TUMEOKOLEWA KUTOKANA NA NINI?

WATCH YOUR BODIES NOT TO BE DISGUSTING TO GOD ANGALIIENI MIILI YENU ISIWE CHUKIZO KWA MUNGU