Posts

Showing posts from August, 2023

TUMEOKOLEWA KUTOKANA NA NINI?

 Dr Bukuku     J pili asubuhi                          EAGT Mbeya nzovwe 12 Aug 2023       Maandiko ya somo   1.Tumeokolewa KUTOKANA na Ghadhabu ya Mungu     Warumi 1:18     warumi 5:9     rumi 5:9-11    1 thesalonike 1:9-10 2.Tumeokolewa kutokana na kuzimu     luka 16:19-24     ufunuo 20:11-15     yohana 3:16 3 Tumeokolewa kutokana na nguvu za giza za  ibilisi     korosai 1:13     korosai 2.13-15    ebrania 2:14-15 4.Ametuokoa na Utumwa wa dhambi     mathayo 1:21          Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.    warumi 6:22-24  MUNGU AWABARIKI